VURUGU ZILITOKEA JIJINI DAR ES SALAAM MAENEO YA KARIAKOO

  SHUHUDIA

 Twende garini.....
 Akaaaa sio mimi jamaniiiiiii, Babu (kulia} akijitetea...
 Askari wakimdhibiti babu...
 Babu akishuhshwa garini kuingizwa kituoni.....
 Mgambo wa kike akipambana na kijana kumburuta kumpeleka garini, baadaye mgambo huyu CHALIII
 Mgambo chaliii,lakini wapi anaye tuuuu....
 Watuhumiwa wakipandishwa garini....
  Watuhumiwa wakipandishwa garini....
  Watuhumiwa wakipandishwa garini....
 Jamaa akijaribu kueskep ambapo alikula bonge la mtama na kutambaa kama hivi na kudakwa na mgambo wa kike....
 Maeneo ya Posta nako hali haikuwa shwali sana,  ulinzi uliimalishwa kama hivi...
 Babu panda gari haraka......
 Kijana twende ohooooo.....
 Maeneo ya Kariakoo njia na barabara zote zilikuwa nyeupeeee kama hivi...
 Njia zote za kwenda na kurudi yalikuwa yakitamba magari ya polisi tu.
 Askari wakikagua paspoti ya Raia wa kigeni, ili kumruhusu kupita maeneo hayo....Posta mpya.
 Njia zilifungwa kama hivi....
 Daladala ziliamuliwa kubadili na kupita njia nyingine.....
 Abiria wengi walikwama usafiri....
 wengine waliamua kutembea kwa miguu....
 Askari wa doria ya pikipiki wakikatiza katika mitaa ya Posta Mpya....
Askari wa Mbwa wakiimarisha ulinzi.
FFU wakizunguka maeneo ya Kariakoo leo huku  wakitumia kipaza  sauti  kuwataka  wananchi wote  kurejea majumbani kwao
Hili ni eneo la Msimbazi ambalo kwa kawaida  huwa  kuna msongamano mkubwa wa  watu
Eneo la mzunguko  wa Kariakoo ambalo jiupe kama unavyoliona hapa
Hapa  sio maduka  yamefungwa  muda  umepita ama  wahusika  wamefiwa hapana ni baada ya vurugu  kutokea
Hii ni kariakoo sio biashara  mbaya ni usalama hakuna

                                       ingekuwa  vipi kama kariakoo  kila  siku  kungekuwa  hivi?
 
 
 
source.THIS DAY MAGAZINE

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post