
Nilipokuwa nikikulia, nilijua ndoto yangu kubwa ni kusoma nje ya nchi, hasa Uingereza, lakini hali ya kifedha ya familia yangu ilikuwa mbaya sana. Familia yetu haikuwa na uwezo wa kunisaidia kifedha, na kila wakati nilijaribu kuomba msaada, nilikosa.
Kila jaribio la kupata scholarship au nafasi ya elimu lilishindikana, na kila ukosefu wa matokeo ulikuwa unanionyesha kuwa ndoto yangu ingeishia kuwa ndoto tu. Kila siku ilikuwa changamoto.
Social Plugin