NDUGU ZANGU WALINIFUKUZA NYUMBANI KWA MADAI ETI MIMI NI MKOSI LEO WANANIPIGIA SIMU WAKIOMBA KAZI
Wednesday, August 20, 2025
Nilizaliwa katika familia ya watoto saba kule Mbeya, nikiwa wa pili kuzaliwa. Tangu nikiwa mdogo, kulikuwa na mazoea ya kuniangalia kama mtu mwenye mikosi.
Nilipoanguka darasani mara moja tu darasa la saba, mamangu alinitazama na kusema, “Wewe si mtu wa kufanikisha chochote.” Nilichukulia kama maneno ya hasira, lakini haikuishia hapo.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin