DR. ASHA - ROSE MIGIRO KATIBU MKUU CCM, ACHUKUA MIKOBA YA DKT. EMMANUEL NCHIMBI, KIHONGOSI MWENEZI!
Saturday, August 23, 2025
Dkt. Asha-Rose Migiro ameteuliwa kumrithi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi ambaye ni Mgombea Mwenza wa urais wa Chama hicho katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,2025.
Uteuzi huo uliothibitishwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, yametangazwa mbele ya vyombo vya habari na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla mara baada ya kutangaza uteuzi wa mwisho wa wagombea ubunge na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi leo katika Ukumbi wa White House Makao Makuu ya CCM Dodoma.
Pia, Makalla amechukua fursa hiyo kutangaza mabadiliko mengine ambapo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi ameteuliwa kuchukua nafasi yake ya Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin