Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

NILIPATA HARUFU YA MAITI KILA NILIPOPITA KUMBE KITU KILIKUWA KIMENISHIKA TANGU NILIPOCHUKUA KITU KISICHOKUWA CHANGU



Siku hiyo ilikuwa ya mvua ndogo, nikiwa safarini kutoka kazini kwenda nyumbani. Nilisimama kituoni kama kawaida, nikingoja matatu. Ghafla macho yangu yakakutana na mkoba mwekundu uliokuwa kwenye benchi.

Ulionekana mzuri, wa kisasa, na haukuwa na mtu yeyote karibu. Nilikaa nao dakika tano nikisubiri mmiliki ajitokeze hakuna aliyejitokeza. Nikauchukua kwa dhamira njema, nikisema nitaupeleka polisi au nitumie mitandao kumtafuta mwenyewe.Soma zaidi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com