Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

DKT. BITEKO AHANI MSIBA WA MZEE MGANGA NGELEJA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehani msiba wa Baba Mzazi wa William Ngeleja, Mzee Mganga Ngeleja aliyefariki Julai, 16, 2025 na kuzikwa Julai 21, 2025 Kijijini kwake Bitoto, Wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com