Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

CCM YAMRUDISHA AHMED SALUM KUWANIA UBUNGE SOLWA


Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imempitisha Ahmed Ally Salum kugombea tena nafasi ya ubunge katika Jimbo la Solwa, mkoani Shinyanga katika mchakato wa ndani ya chama.


Katika hatua hiyo ya awali ya mchakato wa ndani, Ahmed Salum atachuana na wagombea wengine sita waliochujwa na kupitishwa na CCM ambao ni Sosthenes Julius Katwa, Selemani Emmanuel Choka, Zinguji Mayala Machwele,Leonard Nduta Lukanya, Alphistone Michael Bushi na Costantine Joseph Budaga.














Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com