Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

BANDORA SALUMU MIRAMBO AJITOSA KUWANIA UDIWANI KATA YA CHEMCHEM


Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Ulinzi ya Salu Security, Bandora Salumu Mirambo, amechukua fomu ya kuomba ridhaa CCM kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Chemchem, Manispaa ya Tabora.

Bandora amechukua fomu hiyo leo Juni 28, 2025


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com