Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

SINZO MGEJA AOMBA RIDHAA YA CCM KUGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM JUMUIYA YA WAZAZI TANZANIA BARA

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sinzo Khamis Mgeja, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake ili kugombea nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Kundi la Jumuiya ya Wazazi Tanzania Bara.

Mgeja amechukua fomu hiyo leo Juni 30, 2025 katika Ofisi za CCM Mkoa wa Shinyanga.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com