Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MKE WA RAIS FINLAND AFANYA "ROYAL TOUR" MAKUMBUSHO YA TAIFA DAR


Na Mwandishi Wetu

Mke wa Rais wa Finland, Suzanne Innes-Stubb, leo Jumanne Mei 14, 2025, amefanya “Royal Tour” kwenye Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine alifurahia sana historia ya zamadam na utamaduni wa Tanzania.

Akipokewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Miliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi na Mkurugenzi wa Makumbusho hiyo Dkt. Noel Luoga, Mama Suzanne Stubb, mtaalam wa sheria za Umoja wa Ulaya, ameeleza kufurahia historia ya zamadam na kueleza matamanio yake kwa watafiti kutoka nchini Finland kuja kujifunza zaidi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com