RC MNDEME ATEMBELEA BANDA VETA KWENYE UZINDUZI WA WIKI YA SHERIA SHINYANGA


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (kushoto) akifurahia jambo alipotembelea Banda la Chuo cha Ufundi Stadi -VETA Shinyanga wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Sheria Mkoa wa Shinyanga leo Jumamosi Januari 27,2024 katika Uwanja wa Zimamoto Mjini Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post