NSSF YASHIRIKI MADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI 2023


Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) leo tarehe 1 Desemba, 2023 umeshiriki Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, ambayo kitaifa imefanyika Mkoani Morogoro katika Viwanja vya Michezo vya Shule ya Sekondari Morogoro. Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa.

Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani mwaka 2023 yamebeba kauli mbiu isemayo “Jamii iongoze kutokomeza UKIMWI”.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post