Timu za soka na Netiboli za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA zimeanza vyema kampeni ya kuwania ubingwa wa Mashindano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma, Taasisi na Makampuni Binafsi (SHIMUTA) yaliyoanza kutimua vumbi tarehe 12 Novemba 2023, Mkoani Dodoma.
Timu ya soka ya TPA imepata ushindi wa bao 1 kwa 0 dhidi ya Timu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro- NCAA, bao hilo pekee la ushindi limetiwa kimiani na Ramadhani Madebe Katika dakika ya 15 ya mchezo.
Nayo Timu Bingwa ya mashindano haya kwa netiboli, Timu ya TPA wakiongozwa na Nyota wake mahiri Neema Mwahu, imetoa kipigo kizito cha magoli 38 kwa 24 dhidi ya Timu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF )
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin