Tanzia : MSANII MAARUFU WA NYIMBO ZA ASILI BHUHULU LUSAFISHA AFARIKI DUNIA

Msanii Maarufu wa Nyimbo za Asili za Kabila la Wasukuma Bhuhulu Lusafisha / Buhulu Lusafija mkazi wa Ngaya Wilaya ya Kahama amefariki dunia.

Taarifa zinaeleza kuwa Msanii Bhuhulu Lusafisha amefariki dunia Jana Jumapili Novemba 26,2023 wilayani Kahama baada ya kuugua muda mrefu na mazishi yatafanyika leo kijiji cha Mwakuzuka kata ya Ngaya wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Bhuhulu Lusafisha enzi za uhai wake.

HIZI HAPA BAADHI YA NYIMBO ZA MSANII BHUHULU LUSAFISHA

   

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post