RANGERS FC KUTOKA TANROADS YATINGA FAINALI BAADA YA KUIFUMUA UVCCM NGOKOLO, MASHINDANO YA DR. SAMIA CUP

Viongozi wakifuatilia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA

Na Mwandishi wetu Malunde 1 Blog 

Wakati Mashindano ya Dkt. Samia Cup yakiendelea kutimua vumbi katika viunga mbalimbali katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa lengo la kumtafuta bingwa atakayeibuka na zawadi mbalimbali katika mashindano hayo,Timu ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCC) kata ya Ngokolo imekubali kutolewa kibabe na Timu ya Tanroads (Rangers fc )kutoka Tanroads  katika Mtanange uliopigwa katika uwanja wa Chuo cha ualimu Shinyanga (Shy Com) ikiwa ni hatua ya kutafuta timu zitakazo shiriki hatua ya Fainali

Katika mchezo huo Timu ya UVCCM Ngokolo imeshindwa kutamba mbele ya Timu ya Tanroads (Rangers fc ) kutoka Tanroads  baada ya kukubali kufungwa goli moja kwa sifuri na Timu ya Tanroads (Rangers fc katika mashindano hayo huku Tanroads ikipata tiketi ya kwenda kushiriki katika hatua ya fainali.

Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA,  Jackline Isaro, akitazama burudani


Kocha wa timu ya Tanroads (Rangers ) akikochi vijana wake.

Kocha wa timu ya Ngokolo akikochi vijana wake

Viongozi wakifuatilia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA
Viongozi wakifuatilia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA
Viongozi wakifuatilia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA
Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA

Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA
Wachezaji wa Timu ya UVCCM Ngokolo Shinyanga
Wachezaji wa Timu ya Tanroads Shinyanga
Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA,
Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA

Kikundi cha hamasa Ngokolo

Wapenzi wa soka wakifurahia mashindano ya DR. SAMIA CUP SHINYANGA




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post