RC MTAKA ATEMBELEA BANDA LA TCAA, ASIFU UFANISI WA TAASISI HIYO MAONESHO YA NANENANE MBEYA
Sunday, August 06, 2023
Mkuu wa mkoa wa Njombe Mh. Anthony Mtaka (wa pili kushoto)), akizungumza na Meneja Masoko na Uhusiano wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga TCAA Bw. Yesaya Mwakifulefule(wa kwanza kushoto), wakati alipotembelea Katika banda la Mamlaka hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayofanyika kwenye viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya, Katika picha (Kutoka kulia), ni Maureen Swai Afisa Uhusiano na Mawasiliano TCAA, Kassim Ally (Dereva) na Ally Changwila Afisa Uhusiano Mwandamizi TCAA.
Meneja Masokona Uhusiano wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga TCAA Bw. Yesaya Mwakifulefule (kushoto), akimpa maelezo Mwanahabari na Mwana mitindo Mboni Masimba (katikati), wakati alipotembelea Katika banda la Mamlaka hiyo, kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayofanyika kwenye viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.
Mwanahabari na Mwana mitindo Masimba akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea Katika banda la Mamlaka hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayofanyika kwenye viwanja vya John Mwakangale Jijini Mneya kulia ni Maureen Swai Afisa Uhusiano na Mawasiliano TCAA.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin