FINLAND , MISA TAN WASAINI MKATABA WA UTEKELEZAJI MRADI WA KUBORESHA UTENDAJI WA VYOMBO VYA HABARI NA MABADILIKO YA SHERIA
Wednesday, August 09, 2023
Balozi wa Finland nchini Tanzania, Theresa Zitting (kushoto) na Mkurugezi wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (MISA TAN), Elizabeth Riziki (kulia) wakisaini mkataba wa utekelezaji mradi wa kuboresha utendaji wa vyombo vya habari na mabadiliko ya sheria kwa kushirikiana na taasisi ya Protection Africa International (PAI) leo Agosti 9,2023. Kushoto ni Mwenyekiti wa MISA TAN, Salome Kitomari. (Picha na Mpigapicha wetu)
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin