Tazama Maajabu!! UPEPO WAIBUKA GHAFLA KWENYE MASHINDANO YA MBIO ZA BAISKELI SHINYANGA


Mbio za baiskeli kundi la wanaume zikiendelea ambapo mshindi wa kwanza alikuwa Malaika Leonard akifuatiwa na Kashinje Kapemba na Konda Ishudu


Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jumamosi Julai 1,2023 kumefanyika Kampeni ya Kataa Uhalifu toa taarifa, Shinyanga Bila Uhalifu inawezekana iliyofanyika katika kata ya Ndala na Masekelo Manispaa ya Shinyanga ambayo imeanzishwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga kwa uratibu wa Mwandishi wa Habari na Mshereheshaji Amos John maarufu MC Mzungu Mweusi.


KAMPENI YA KATAA UHALIFU TOA TAARIFA YATUA NDALA NA MASEKELO....DC SAMIZI AONYA SUNGUSUNGU KUGEUKA WAHALIFU

Kampeni hiyo imeenda sanjari na Bonanza la Michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, mbio za baiskeli kwa wanaume na wanawake ambapo pia kumefanyika zoezi la uchangiaji damu salama na utoaji elimu mbalimbali.

Katika hali ya kushangaza wakati mashindano ya mbio za baiskeli kundi la wanaume zikiendelea ghafla upepo uliibuka na kuanza kuwafuata waendesha baiskeli.

Tazama Video hapa chini


Mbio za baiskeli kundi la wanaume zikiendelea ambapo mshindi wa kwanza alikuwa Malaika Leonard akifuatiwa na Kashinje Kapemba na Konda Ishudu
Mbio za baiskeli kundi la wanaume zikiendelea ambapo mshindi wa kwanza alikuwa Malaika Leonard akifuatiwa na Kashinje Kapemba na Konda Ishudu
Mbio za baiskeli kundi la wanaume zikiendelea ambapo mshindi wa kwanza alikuwa Malaika Leonard akifuatiwa na Kashinje Kapemba na Konda Ishudu
Mbio za baiskeli kundi la wanaume zikiendelea ambapo mshindi wa kwanza alikuwa Malaika Leonard akifuatiwa na Kashinje Kapemba na Konda Ishudu
Mbio za baiskeli kundi la wanaume zikiendelea ambapo mshindi wa kwanza alikuwa Malaika Leonard akifuatiwa na Kashinje Kapemba na Konda Ishudu
Mbio za baiskeli kundi la wanaume zikiendelea ambapo mshindi wa kwanza alikuwa Malaika Leonard akifuatiwa na Kashinje Kapemba na Konda Ishudu
Mshindi wa kwanza Mbio za baiskeli kundi la wanaume Malaika Leonard 
Mshindi wa  tatu mbio za baiskeli kundi la wanaume Konda Ishudu akipokea zawadi ya pesa
Mshindi wa  pili  mbio za baiskeli kundi la wanaume Kashinje Kapemba akipokea zawadi ya pesa
Mshindi wa kwanza mbio za baiskeli kundi la wanaume Malaika Leonard akipokea zawadi ya pesa


Soma pia

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post