WIZARA YA MADINI YASHINDA TUZO KIPENGELE CHA NISHATI, MADINI


Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Taasisi zake na Wadau wa Sekta ya Madini imeibuka Mshindi Namba 1 katika kipengele cha Nishati na Madini kwenye kilele cha Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Sabasaba.

Asanteni sana wananchi na wadau wote wa Sekta ya Madini mliotembelea katika banda la MADINI PAVILION kujifunza, kuona na kusikiliza.

#Tanzania Mahali Sahihi Pa Biashara na Uwekezaji.

#Sekta ya Madini kwa Uchumi Imara na Maendeleo Endelevu. kujifunza, kuona na kusikiliza.
#Tanzania Mahali Sahihi Pa Biashara na Uwekezaji.
#Sekta ya Madini kwa Uchumi Imara na Maendeleo Endelevu.

#GST #STAMICO #TUME YA MADINI #TGC# TEITI, CHAMBER OF MINES #MAMBA MINERALS #GGM

#JITEGEMEE HOLDING, #YAYA RESOURCES #ESAP LIMITED # NKONYA INVESTMENT

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post