Tanzia : MWANDISHI WA HABARI MAGRETH TENGULE AFARIKI DUNIA

 

Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dodoma inasikitika kutangaza kifo cha Mwanachama wao Magreth Tengule kilichotokea Jijini Mwanza.

Tutaendelea kutaarifiana taratibu za mazishi.

Bwana alitoa, Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe Amina

Fred Alfred
Kaimu Katibu

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post