Tazama Picha : MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AKIZUNGUMZA NA WAWEKEZAJI NA WAMILIKI WA VIWANDA SHINYANGA

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza na Wawekezaji na Wamiliki wa Viwanda vikubwa na vidogo Mkoa wa Shinyanga leo Jumanne Juni 20,2023 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Mkuu huyo wa mkoa ametumia fursa hiyo kuelezea fursa mbalimbali za uwekezaji mkoani Shinyanga sambamba, kusikiliza na kutatua kero za wafanyabiashara na kutoa 
maelezo ya awali kuhusu mapendekezo ya kuridhia Mkataba baina ya serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya uendeshaji  na uboreshaji  kazi wa Bandari Tanzania.


Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza na Wawekezaji na Wamiliki wa Viwanda vikubwa na vidogo Mkoa wa Shinyanga leo Jumanne Juni 20,2023 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza na Wawekezaji na Wamiliki wa Viwanda vikubwa na vidogo Mkoa wa Shinyanga leo Jumanne Juni 20,2023 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. 
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza na Wawekezaji na Wamiliki wa Viwanda vikubwa na vidogo Mkoa wa Shinyanga leo Jumanne Juni 20,2023 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. 
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza na Wawekezaji na Wamiliki wa Viwanda vikubwa na vidogo Mkoa wa Shinyanga leo Jumanne Juni 20,2023 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. 

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza na Wawekezaji na Wamiliki wa Viwanda vikubwa na vidogo Mkoa wa Shinyanga leo Jumanne Juni 20,2023 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. 

Makamu Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Shinyanga Khatibu Mgeja akizungumza kwenye mkutano wa Wawekezaji na Wamiliki wa Viwanda vikubwa na vidogo Mkoa wa Shinyanga leo Jumanne Juni 20,2023 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. 


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post