ASHANGAZWA NA UFAULU WA MWANAYE BAADA KUKUTANA NA BAKONGWA

Sikuamini nilipoambiwa kuwa mwanangu amefaulu mtihani wake wa kidato cha nne mpaka nilipojihakikishia mwenyewe kwa kuangalia matokeo na kumuulizia mwalimu mkuu wake shuleni pale alipokuwa anasoma. Ninamfahamu mwanangu vizuri sio mtu wa darasani amekuwa anajihusisha sana na vibarua mbalimbali kusudi asaidie familia yake kipindi ambacho wanafunzi wenzake wakiwa darasani.


Hili lilikuja baada ya ajari iliyotokea na baba yake akafariki papo hapo kwenye gari la abiria la kuelekea dar es salaam ‘NBS’ilimbidi aanze kutunza familia yetu, yeye kama baba.Ikafika kipindi ikawa ngumu kwake kuhudhuria masomo ikawa anahudhuria mara mbili kwa wiki.

Nilianza kuona mwenendo wa masomo yake sio mzuri kwenye matokeo yake ya muhula wa mwisho wa kuingia kidato cha nne, Alishika nafasi ya pili kutoka mwisho kila nilipo jaribu kusema naye hakuonesha changamoto yoyote katika masomo yake alizijuwa shida za nyumbani kwetu na akazipa kipaumbele kikubwa.

Ninafahamu kuwa nguzo ya maisha mazuri kwanza ni shule nilifanya kila la kufanya mwanangu asome ili aje kutukomboa sisi familia yake, nikapalangana kila kona nikawa na madeni kila mahali kwenye vikundi vyetu vya akina mama nikamtafutia tuisheni lakini wala hakuw amhudhuriaji mzuri kwa sababu za vibarua vyake na kila alipo hudhuria hakuwa makini, nilimpima kwenye mtihani wake wa katikati ya mwaka wa kidato cha nne na kugunduwa hakuwa amepiga hatuwa yoyote ile alishika nafasi ya mwisho kabisa wakati huu.

Hakuna mzazi anaye furahi kumuona mwanaye anaharibu maisha yake ili atunzwe yeye, au mwanaye anaharibikiwa ikiwa mzazi bado yuko hai, kwa nikaamuwa kufanya maombi ya siku tatu na kufunga ili mwanangu abadilike lakini bado hata mtihani wake wa pre-nation hakufanya vizuri alipata daraja la nne jirani na mwisho kabisa tena.

Niliamua kumshirikisha wifi yhangu, shangazi yake kwa kuwa ndiye alikuwa ndugu wa pekee kwenye ukoo wa marehemu baba yake aliyeko jirani na sisi, akaniambia kuwa hata yeye mwanaye alimaliza elimu ya chuo kikuu kwa msaada wa daktari BAKONGWA akanatia nguvu akanipa nambari za whatsapp za daktari +243990627777.

Nilipomtafuta daktari alitupa dawa ya kumuongezea mwanangu kumbukumbu na kumfanya ashike vitu kwa haraka zaidi, alikaa kwenye mtihani wake akiwa ametumia dawa ile kwa siku mbili tu, sikuamini lakini matokeo yalipotoka nilishangaa mimi na walimu wake wote kwa ufaulu wa daraja la pili alilopata ulio mruhusu aendelee na masomo ya ngazi ya juu zaidi, ,asante sana daktari kwa msaada ulionipatia kwa mwanangu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments