ASHINDWA KUVUMILIA AFANYA TAFRIJA BAADA YA KUPONA UGONJWA WA MOYO

Nilipoambiwa kuwa maisha yangu yapo hatarini na siku zangu za kuishi ziko ukingoni ndipo nilipoanza kufanya kila jitihada iliyoko ndani ya uwezo wangu kusudi nijinasue kwenye ugonjwa huo mbaya wa moyo.

Ugonjwa huu ndio ulinikutanisha na bingwa wa mabingwa daktari BAKONGWA mwenye nambari za whatsapp +243990627777. Dalili za ugonjwa wa moyo nilianza kuziona mapema nilipopata dalili za maumivu ya kifua, kifua kubana na muda mwingine kusindwa kabisa kupumua na kuzidiwa hata kuwekewa mirija ya upumuaji.

Nilijithibitishia haya nilipo kwenda kufanyiwa vipimo Hospitali ya taifa Muhimbili na ndio hao waliosema kuwa hakuna tiba labda nipambane sana kubadilisha moyo tena itanibidi nisafiri kwenye nchi za watu huko ili kusudi hili litimie.Kuhofia kufariki mimi nikajichanga na kufanya mawasiliano ya ndugu zangu waliopo huko nchi za ughaibuni.

Nilipowapa majibu na vipimo vya afya yangu walisema kupata mtu ambaye anaweza kujitolea moyo wanibadilishie nizoezi gumu sana, kwani kundi langu la damu lilikuwa ni herufi ‘O’.

Nilipouliza kuhusu gharama wao walisema gharama ambazo kwangu hazikuwa gharama za juu , nikaona nazikidhi lakini wakanikumbusha upasuai huwo hauna uhakika kama mimi nitatoka mzima kwenye chumba cha upasuaji.Hilo nalo likanitia wazimu zaidi ofu ya mimi kufariki kabla sijafanya makubwa ikaongezeka ikawa maradufu sasa.

Ushauri nilioambulia kutoka kwao ni kuwa nipunguze vyakula vya mafuta na nijaribu kufanya mazoezi ya mwili angalau yatanisaidia kurudisha afya yangu kama vile ambavyo ilikuwa mwanzoni japo hii haikumaanisha kwamba nitapona.

Miaka minne sasa nikiwa najinyima na kula vyakula vya shauri na kufanya yale waliyosema --- yaani niliishi kwa shida maisha yasiyo na furaha imani ya mimi kupona haikuwepo tena mbele yangu.

Sasa nikaanza kufikiria kuwa ninafariki hata mtoto sijaacha hili nalo lilinitia uchungu zaidi, jioni moja nikiwa kwenye dimbwi la mawazo sana nisijuwe hili wala lile nilitembelewa na bosi wangu nyumbani akija kufahamu yali ya afya yangu kwakuwa sasa hata kazini sikuwa mhudhuriaji mzuri kwa sababu za igonjwa unaonisumbuwa.

Tuliongea sana nikamueleza hali ngumu na shida ninazozipitia kuhusu ugonjwa wangu nay eye akaniuliza, Umewahi badili mtazamo wa tiba ? haraka harala nikajibu ndiyo m naye akarudia akasema sasa jaribu kumuona daktari bakongwa akaniandikia tovuti za huyo daktari https://bakongwadoctors.com na kuniacha humo ndani tukaagana kwa ishara za mikono sikumsindikiza kwa kuhofia kijua kikali na afya yangu havipatani.

Nilipopata wasaa tu wa kuwa peke yangu niliingia kwenye hizo tovuti zake kisha nika nakiri nambari zake na kumtafuta kujuwa ni namna gani atanipa msaada kwenye shida yangu.Daktari alinisikiliza na kunipa dawa ya kunywa jwa muda wa siku mbili kisha akaniambia nitakapo maliza dawa nikapime hospitalini kujihakikishia mwenyewe.

Nilifanya hivyo na kwa kujiaminisha nilirudi palepale hospitali ya taifa hakika hata madaktari walionipima walishangazwa na majibu ya vipimo hivyo nilikuwa mzima hakukuwa na shida yoyote tena kwangu, ndipo nilipoamini kuwa kwa daktari bakongwa hakuna kubwa yote kwake ni madogo tu , asante sana daktari kwa msaada sasa ninadunda tena upya na nimeandaliwa tafrija siku ya kurejea kazini.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments