MBUNGE KIRUMBA AKUTANA NA WANACHAMA WA UWT SEGESE KAHAMA


Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba amekutana na kuongea na wanawake wanachama wa UWT kata ya Segese halmashauri ya Msalala wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga ili kuzungumzia masuala mbalimbali yanayohusu Chama Cha Mapunduzi (CCM) ambapo pia amelipia kadi za UWTA kaa wanachama 37 sa kata hiyo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments