MBUNGE SANTIEL KIRUMBA ATIMIZA AHADI YA KUNUNUA FENICHA NA PRINTER SEGESE SEKONDARI

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba (kulia) akimkabidhi shilingi 600,000 mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Segese iliyopo Halmashauri ya Msalala mkoa wa Shinyanga ikiwa ni sehemu ya kutimiza ahadi aliyokuwa ameahidi kutoa kwa ajili ya fenicha za shule ya sekondari ya Segese ambapo pia ametoa Printer moja


Mhe. Kirumba ametoa kiasi cha shilingi laki sita na printer moja katika shule ya sekondari ya kata ya Segese ikiwa kutimiza ahadi yake aliyoahidi mwaka 2022 akiongea na walimu na viongozi wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Segese , Segese Sekondari .

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments