Tanzia : MWANDISHI WA HABARI RICHARD MAKORE AFARIKI DUNIA

Mwandishi wa habari wa magazeti ya Nipashe Mkoa wa Mwanza Richard Maro Makore amefariki dunia katika ajali ya basi la Sheraton lililokuwa likisafiri kutokea Mwanza kuelekea wilaya ya Mbogwe.

Katika ajali hiyo watu 10 wamefariki na majeruhi 48 mganga mfawidhi Dr Mfaume Salum amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments