Tanzia : MWANDISHI WA HABARI RICHARD MAKORE AFARIKI DUNIA
Wednesday, March 08, 2023
Mwandishi wa habari wa magazeti ya Nipashe Mkoa wa Mwanza Richard Maro Makore amefariki dunia katika ajali ya basi la Sheraton lililokuwa likisafiri kutokea Mwanza kuelekea wilaya ya Mbogwe.
Katika ajali hiyo watu 10 wamefariki na majeruhi 48 mganga mfawidhi Dr Mfaume Salum amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin