RAIS SAMIA APOKELEWA KWA SHANGWE NA WANACHAMA WA CHADEMA


Hivi ndivyo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyopokelewa na Maelfu ya Wanachama wa CHADEMA alipotua uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro tayari kwa Kongamano la Siku ya Wanawake Duniani lililoandaliwa na Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) Moshi Kilimanjaro.

Mamia ya Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wameongoza msafara wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea ukumbi wa Kuringe Moshi linapofanyika Kongamano hilo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments