AJALI YA BASI LA KOMBAS YAUA WATU 9,KUJERUHI 30



Watu tisa wamepoteza maisha na wengine 30 kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Kombas kuacha njia na kupinduka kwenye korongo la mlima Nkondwe wilayani Tanganyika.

Ajali hiyo imetokea jana Machi 6 saa 9:45 alasiri ambapo imeelezwa kuwa baada ya kufika eneo la mlima Nkondwe basi hilo liliserereka hadi kwenye korongo hilo lenye kina cha mita zisizopungua 75 chini yake kukiwa na mto.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments