PERFOMANCE WOMAN, THEATRE ARTS FEMINISTS WAKUTANA NA WAZAZI NA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI KILIMANI...WABAINI WATOTO KUCHOMWA MOTO


Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake na watoto kutoka Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman kwa kushirikiana na Shirika la Theatre Arts Feminists wametoa elimu ya ukatili wa kijinsia kwa wazazi na wanafunzi wa shule ya msingi Kilimani jijini Dar es salaam.


Wanaharakati hao (Mkurugenzi wa Shirika la Theatre Arts Feminists, Aluwa Mkilindi na Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman, Rose Mwasubila) wamesema mara baada ya kuzungumza na wanafunzi na wazazi wamebaini kuwepo kwa vitendo vya unyanyasaji wa watoto kuchomwa moto na walezi wao ambapo mmoja amechomwa moto na mama mzazi huku mwingine akichomwa na mke wa shangazi yake.


Wamesema vitendo hivyo vinasababishwa watoto kukosa ujasiri wa kuelezea changamoto za ukatili kutokana na kukosa urafiki na walezi wao au watu wao wa karibu.


“Tumetoa elimu kwa wanafunzi 600 ambapo wasichana ni 298 na wavulana ni 302 lakini pia tumetoa elimu kwa wazazi 45, tumewafundisha namna nzuri ya kuwalea watoto na kuwa marafiki zao ili iwe rahisi kubaini ukatili wanaofanyiwa pamoja na kuwafundisha wazazi namna na mbinu za kuwaadhibu watoto badala ya kuwaunguza na moto”,wamesema.
Mkurugenzi wa Shirika la Theatre Arts Feminists, Aluwa Mkilindi akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika la Theatre Arts Feminists, Aluwa Mkilindi akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman, Rose Mwasubila akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika la Theatre Arts Feminists, Aluwa Mkilindi akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman, Rose Mwasubila akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman, Rose Mwasubila akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman, Rose Mwasubila akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika la Theatre Arts Feminists, Aluwa Mkilindi akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika la Theatre Arts Feminists, Aluwa Mkilindi akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika la Theatre Arts Feminists, Aluwa Mkilindi akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman, Rose Mwasubila akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika la Theatre Arts Feminists, Aluwa Mkilindi akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman, Rose Mwasubila akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman, Rose Mwasubila akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali Perfomance Woman, Rose Mwasubila akitoa elimu ya kukomesha ukatili wa kijinsia

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments