JINSI MANDONGA ALIVYOMDUNDA MKENYA DANIEL MANYONYI...APEWA USHAURI

Meneja wa Diamondplatnuzm @sallam_sk amempa ushauri Bondia @k_mandonga asisindikize watu kwenye utajiri kwani umaarufu bila pesa ni kicheko
 
Sallam ameandika "Hongera @k_mandonga ila kuanzia sasa
USISINDIKIZE MTU KWENYE UTAJIRI, umaarufu bila hela ni kicheko baadae!! Pambano la leo umelitengenezea tension kubwa sana AFRIKA MASHARIKI, kuangalia LIVE ONLINE ilikuwa inacost
DOLLAR 2. Nakutakia kila la Heri katika safari yako"

Tazama hapa VIDEO MANDONGA akizungumza baada ya kumdunda Daniel WANYONYI wa Kenya kwa TKO, mtazame akiongea na waandishi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments