MTOTO WANGU ALIVYOTOWEKA KWA NJIA ZA KISHIRIKINA



Jina langu ni Mama Samweli kutokea nchini Kenya, miaka kama mitatu iliyopita nilipitia changamoto kubwa sana kifamilia, hii ni baada ya mtoto wangu mmoja kupotea katika mazingira ya kutatanisha.

Ilikuwa ni jioni ya kawaida akiwa anacheza eneo la karibu ya nyumba yetu pamoja na watoto wa majirani zangu, huu ulikuwa ni utamaduni wao wa siku zote kukutanika katika eneo hilo na kucheza.

Hata hivyo, ilipofikia muda wa kurudi nyumbani sikuweza kumuona, ndipo nikajaribu kupaza sauti na kuita lakini hakuweza kuitika, nilianza kupita nyumba za majirani kuuliza kama yupo huko lakini sikumona.

Watoto waliokuwa wanacheza naye, tulipowauliza walisema kuwa tulipomaliza kusema walimuona akirejea nyumbani kama ilivyo kawaida, daima siwezi kusahau siku hiyo jinsi ambavyo nilichanganyikiwa.

Basi tulienda kuripoti kisa hicho Polisi na wao mara moja wakaanza kumsaka alipo, nilikuwa na matumaini kuwa Polisi wanaweza kusaidia kupatikana kwa mwanangu maana wao ni wajuzi wa kazi hiyo.

Hata hivyo, haikuwa hivyo, siku zilienda hadi mwezi kumalizika, hapo nikawa nasema kama mwanangu atapatikana, basi anaweza kupatikana akiwa amekufa. Mashaka yalikuwa ni makubwa sana kwangu.

Jirani yangu mmoja aliniambia kuwaAfricanDoctors wanaweza kusaidia kupatikana kwa mtoto wangu, basi nilichukua jukumu la kuwasiliana nao na kuwaeleza shida hiyo.

Siku chache baaada ya wao kunifanyia tiba yao, mtoto wangu alirejea mwenywe nyumbani akiwa mzima wa afya, tulipomuuliza ni wapi hasa katokea, alisema Bibi mmoja alimchukua na kwenda kuishi kwake lakini hasa hamkumbuki na hakumbuki kwake.

Hapo ndipo nikaelewa kuwa mtoto wangu alichukuliwa kwa njia za kushirikina, na kama sio AfricanDoctors basi ingekuwa ni ngumu kwa Polisi kuja kuweza kumpata.

Wasiliana na AfricanDoctors kwa namba +254719153099.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments