MTOTO WANGU ALIKUWA MWISHO DARASANI ILA KAFIKA CHUO KIKUU


Kila mtu ninayemwambia kuwa mtoto wangu ambaye sasa yupo Chuo Kukuu mwaka wa pili aliwahi kuwa mtoto wa mwisho darasani, haamini, wanaona kama ninadanganya.

Jina langu ni Mama Wini kutokea Kericho nchini Kenya, wakati mtoto wangu yupo shule ya msingi alikuwa mtu wa kupata maksi za chini sana katika masomo yake.

Kwa hakika kama mzazi jambo hilo lilinihuzunisha sana, mawazo yalikuwa ni mengi kiasi kwamba sikujua ni kitu gani hasa cha kufanya maana nilipenda mtoto wangu aje kufanikiwa kimaisha na elimu ndio msingi wa mafanikio hayo.

Nilijaribu kumtafutia masomo ya jioni pamoja na kipindi ambacho anakuwa likizo ili aweze kujifunza vizuri yale ambayo hakuelewa darasani, ila hivyo bado jitihada zangu hizi hazikuweza kuzaa matunda.

Hali hiyo ilizidi kunitia wasiwasi kuhusu hatma ya mtoto wangu, kama hatofanya vizuri katika elimu atakuja kuwa mgeni wa nani, atakuja kufanya nini katika hii dunia. Hayo ndio yalikuwa mashaka yangu.

Nashukuru rafiki yangu wa miaka mingi tangu utotoni, alipokuja kuniambia kuwa AfricanDoctors wanaweza kumaliza tatizo hilo kwani hata watoto wake walikuwa hawafanyi vizuri shuleni ila sasa wanapasi kila mtihani wanaofanya.

Ndipo mara moja tuliweza kuwasiliana nao na waliweza kunihakikishia kuwa tiba zao ni uhakika kabisa kwani wamesaidia maelefu ya watu ukanda wa Afrika Mashariki.

Ingawa moyoni nilikuwa na wasiwasi kuhusu jambo hilo maana ndio maana yangu ya kwanza kusikia tiba ya aina hiyo, niliamua kujaribu nione kama kweli inafanya kazi.

Kwa hakika naweza kusema tiba zao ni uhakika kwa asilimia 100, tangu wakati huo mtoto wangu akiwa darasa la sita, alianza kufaulu mfululizo hadi sasa ambapo yupo Chuo Kukuu. Asante sana AfricanDoctors.

Wasiliana na AfricanDoctors kwa namba +254719153099.

Mwisho.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments