Live : MATOKEO YA UCHAGUZI CCM YANATANGAZWA MUDA HUU...MAWAZIRI WANG'ARA

 


Wakati CCM ikifanya uchaguzi wake wa ndani jijini Dodoma, idadi kubwa ya nafasi za wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) zimechukuliwa na mawaziri.

Uchaguzi huo umefanyika katika mkutano mkuu wa CCM uliofanyika Jijini Dodoma ambapo nafasi za ujumbe, makamu mwenyekiti na mwenyekiti wa chama hicho zilikuwa zikigombewa.

Akitangaza matokeo hayo, Msimamizi wa uchaguzi wa CCM, Dk Ali Mohamed Shein amewataja walioshinda kuwa ni Angelah Kairuki ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), Dk Ashatu Kijaji (Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwezekezaji), Angelina Mabula (Waziri wa
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi).

Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.


 WANAWAKE


1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770

2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764

3. Christina Solomon Mndeme Kura 761

4. Hellen Makungu Kura 755

5. Fenela A. Mukangara Kura 747

6. Angellah J. Kairuki Kura``` 730


 WANAUME 


 1. Mahenda Leonard 845

2. Bashungwa Innocent 720

3. Wasira Steven 680

4. Msome Jackson William 591

5. Kasheku Msukuma 587

6. Kasesela Richard 574

7. Wambura Chacha Mwita 545

8. Bashe Hussein 510

9. Nnauye Nape Mosses 508

10. Gwajima Josephat 497

11. January Makamba 452

12. Mwigulu Nchemba 450

13. Macha 435

14. Msengi Ibrahimu 428`

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments