RAIS MSTAAFU WA NIGERIA OLUSEGUN OBASANJO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA PAP CHIFU CHARUMBIRA


Rais mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo (kushoto)amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Bunge la Afrika (Pan African Parliament – PAP), Mhe. Chifu Fortune Charumbira kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Bara la Afrika leo Jumanne Novemba 8,2022 katika Makao Makuu ya Bunge la Afrika, Midrand Afrika Kusini. Mhe. Obasanjo leo amehutubia Bunge la Afrika. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments