RAIS MSTAAFU WA NIGERIA OLUSEGUN OBASANJO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA PAP CHIFU CHARUMBIRA
Tuesday, November 08, 2022
Rais mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo (kushoto)amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Bunge la Afrika (Pan African Parliament – PAP), Mhe. Chifu Fortune Charumbira kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Bara la Afrika leo Jumanne Novemba 8,2022 katika Makao Makuu ya Bunge la Afrika, Midrand Afrika Kusini. Mhe. Obasanjo leo amehutubia Bunge la Afrika. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin