WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAJULIA HALI WALIONUSURIKA KWENYE AJALI YA NDEGE YA PRECISION AIR
Sunday, November 06, 2022
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kuwasili mkoani Kagera, Bukoba kufuatia ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Novemba 06, 2022 mjini Bukoba (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kuwasili mkoani Kagera, Bukoba kufuatia ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Novemba 06, 2022 mjini Bukoba (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa pole Edwin Bitegeko ambaye amenusurika katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Novemba 06, 2022 mjini Bukoba (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa pole Lin Zhang ambaye amenusurika katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Novemba 06, 2022 mjini Bukoba (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin