WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAJULIA HALI WALIONUSURIKA KWENYE AJALI YA NDEGE YA PRECISION AIR


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kuwasili mkoani Kagera, Bukoba kufuatia ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Novemba 06, 2022 mjini Bukoba (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kuwasili mkoani Kagera, Bukoba kufuatia ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Novemba 06, 2022 mjini Bukoba (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa pole Edwin Bitegeko ambaye amenusurika katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Novemba 06, 2022 mjini Bukoba (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa pole Lin Zhang ambaye amenusurika katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Novemba 06, 2022 mjini Bukoba (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments