MABANGO YENYE UJUMBE MZITO KWENYE TAMASHA LA JINSIA 2022 'KEKETENI RUSHWA'



Washiriki wa Tamasha la Jinsia Kanda ya Kaskazini wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali kuhusu Mila Kandamizi ambazo ni kikwazo cha kufikia haki za uchumi na maisha endelevu leo Ijumaa Oktoba 7,2022 katika viwanja vya Kwasa Kwasa wilayani Same.

Tamasha la Jinsia Kanda ya Kaskazini limeandaliwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kushirikiana na wadau wanaotetea haki za wanawake na usawa wa jinsia na wanaharakati binafsi kwa ufadhili wa Ubalozi wa Watu wa Canada, Sweeden, Coady Institute Canada na Seedchange.

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Washiriki wa Tamasha la Jinsia Kanda ya Kaskazini wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali kuhusu Mila Kandamizi ambazo ni kikwazo cha kufikia haki za uchumi na maisha endelevu leo Ijumaa Oktoba 7,2022 katika viwanja vya Kwasa Kwasa wilayani Same.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments