BROTHERHOOD SURVEY SERVICES CO. LTD WAMEACHIA TENA VIWANJA!! CHUKUA KIWANJA CHAKO KIPO BEI SAWA NA BURE KABISA!


 Ni Ofa Kabambe !!🔥🔥🔥🔥 Sasa unaweza kulipia kidogo kidogo hadi miezi 12. Ndiyo!! ni miezi 12 yaani  mwaka mzima bila dhamana yoyote 👊🏽👊🏽👊🏽 

Ni sisi Brotherhood Survey Services Company Ltd - Shinyanga!!

🔥Tunakuletea mradi wa Viwanja uliopo Manispaa ya Shinyanga, eneo la Mwalugoye na Ibadakuli. Viwanja ni vya Makazi na Biashara.

Muhimu zaidi;
✅Viwanja vyote vimepimwa na kuidhinisha na Mamlaka zote kwa kuzingatia sheria na taratibu za Nchi.

✅Viwanja vyote vina Namba na vina sifa ya kupata Hati
✅Viwanja vyote vimeshachongewa barabara za mitaa
✅Viwanja vyote vina alama muhimu(beacons) zinazotenganisha kiwanja kimoja na kingine.

Huduma zilizopo;
✅Maji
✅Barabara
✅Umeme
✅Shule
✅Huduma za Afya

Miundombinu iliyo karibu na Mradi inayoongeza thamani ya eneo
✅Ujenzi wa Stendi kuu ya Mkoa (Ibadakuli)
✅Ujenzi wa Reli ya Mwendokazi (Mwalugoye)

Bei zetu;
👌Amini usiamini, viwanja vinauzwa sawa na bure,
➡️Ibadakuli kuanzia Tsh 1,400/= cash kwa square meter moja. Installment(kulipa kidogo kidogo) yaani unatanguliza 30% alafu inayobaki unalipa kidogokidogo hadi miezi Kumi na Mbili (12)

 ➡️Mwalugoye ni Tsh 2,500/= kwa square meter moja, hii ni pamoja na Hati ambayo utaipata ndani ya Mwezi mmoja. Kulipa Kidogo kidogo (installment) ni mpaka miezi sita(6)

Zingatia;
➡️ukilipia unakabidhiwa mkataba uliosainiwa kisheria na kwa Mwalugoye bei hio inajumuisha na hati ya Kiwanja yenye jina lako.

Ofa zetu;
✅Ushauri wa masuala ya umiliki wa Ardhi ni bure
✅Usafiri kwenda (na kurudi) site kuona viwanja ni bure
✅Kulipia kidogo kidogo kwa kuwekeza
✅Ufuatiliaji wa Hati Miliki


🔥 Tunachora ramani za majengo yaani Architectural design ikiwa ni pamoja na kufanya makadirio ya gharama za ujenzi kwa ramani tuliyokuchorea sisi au ramani utakayokuja nayo.

📞Wasiliana nasi kwa simu
🤳0677000027
🤳0677000028

Tuandikie kwa Email: 
📧 info@brotherhoodsurveyservices.com

🚶🏾Au fika ofisini kwetu Shinyanga 
Jengo la NSSSF Mpya - Barabara kuu ya Mwanza
Ghorofa Na 1, upande wa Kushoto.

🔥Kumbuka, kiwanja chako bado kipo, na UJANJA NI KIWANJA

💪🏿BROTHERHOOD SURVEY SERVICES, 
     ...serves beyond your expectations...


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

2/Post a Comment/Comments

Post a Comment