BONDIA YUSUF LUCASI CHANGALAWE KUAMBULIA MEDALI YA SHABA

Bondia wa Tanzania Yusuf Lucasi Changalawe akipambana na bondia kutoka Scotland Sean Lazzareni katika nusu fainali ya ndondi Michezo ya Jumuiya ya Madola uzani wa 75kg-80kg (Light Heavweight) ukumbi wa NEC jijini Birmingham, Uingereza, ambapo alishindwa kwa pointi 1- 4 na kuambulia medali ya Shaba. Picha na Issa Michuzi, Birmingham.










Bondia wa Tanzania Yusuf Lucasi Changalawe akipambana na bondia kutoka Scotland Sean Lazzareni katika nusu fainali ya ndondi Michezo ya Jumuiya ya Madola uzani wa 75kg-80kg (Light Heavweight) ukumbi wa NEC jijini Birmingham, Uingereza, ambapo alishindwa kwa pointi 1- 4 na kuambulia medali ya Shaba. Picha na Issa Michuzi, Birmingham.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments