RUTO AWAPONGEZA WASHINDI UCHAGUZI MKUU KENYA




Mgombea Urais nchini Kenya kupitia muungano wa Kenya kwanza William Samoei Ruto, amewapongeza washindi wote walioshinda katika maeneo mbalimbali nchini humo.


Ruto ametumia mtandao wake wa Twitter kuwapongeza washindi mbalibali wakiwemo wabunge hasa akieleza kufurahishwa na muamko wa wanawake katika uchaguzi huo

"Hongera kwa washindi wote wa uchaguzi. Hasa, tunasherehekea wanawake wengi ambao wamevunja vizuizi vya kupanda ngazi ya kisiasa. Kila la heri unapoanza majukumu yako mapya. Hustlers wanakutegemea" ameandika katika mtandao wake wa Twitter

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

1/Post a Comment/Comments

  1. Well and good we wish all the best for whole election process,from Dar-Tanzania

    ReplyDelete

Post a Comment