MZEE AVUNJA NYUMBA ZAKE MBILI KIJANA 'ALIVYOZINGUA' AKITAKA URITHI


Mzee Idd Maganga mkazi wa Ngarenaro Jijini Arusha amevunja nyumba zake mbili kwa madai kuwa kijana wake amekuwa akimsumbua akihitaji urithi zikiwemo nyumba hizo.

Mzee Maganga amedai kuwa kijana wake huyo amekuwa akimsumbua ikiwemo kumfungia ndani kwa siku kadhaa akimtaka ampe uridhi ikiwemo nyumba hizo

"Aliniwekea sijui kitu gani sikijui na akanifungia mlango ndani, mpaka mama Masawe alipompigia mtoto wangu wa kike"

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post