Breaking : RAIS SAMIA ATEUA MAKATIBU TAWALA WAPYA WA MIKOA
0
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya saba na kuwahamisha vituo vya kazi makatibu tawala 10 na wengine tisa kubakia kwenye vituo vyao.
Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527
Post a Comment