Thursday, July 28, 2022
Breaking : RAIS SAMIA ATEUA MAKATIBU TAWALA WAPYA WA MIKOA
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya saba na kuwahamisha vituo vya kazi makatibu tawala 10 na wengine tisa kubakia kwenye vituo vyao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment