Tazama Picha : TAMASHA LA UTAMADUNI LAHITIMISHWA KWA KISHINDO SHINYANGA...RC MJEMA ASEMA KILA WIKI KUNA JAMBO KIJIJI CHA UTAMADUNI BUTULWA


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati wa kufunga Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga Jumanne Juni 7,2022 . Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

Tamasha la Kwanza la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga lililokwenda sanjari na uzinduzi wa Kijiji cha utamaduni wa kabila la Wasukuma na Filamu ya The Royal Tour kwa Mkoa wa Shinyanga limehitimishwa kwa shangwe kubwa huku Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Sophia Mjema akiahidi shughuli mbalimbali za Kiutamaduni kuendelea kufanyika katika kijiji hicho kila wiki.

Tamasha hilo lilizinduliwa Juni 7,2022 na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana kwa niaba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na kufungwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema Juni 8,2022 katika kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma cha Butulwa kata ya Old – Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.

Akizungumza wakati wa kufunga Tamasha hilo, Mhe. Mjema amewapongeza na kuwashukuru wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki tamasha la utamaduni ili kutii na kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha kila Mkoa unaenzi na kudumisha tamaduni zao hivyo kuwakumbusha wananchi kuenzi tamaduni zao kama Rais Samia anavyosisitiza mara kwa mara juu ya umuhimu wa kuenzi utamaduni zikiwemo mila na desturi.

Mhe. Mjema amesema kufuatia uzinduzi wa kijiji cha Utamaduni shughuli mbalimbali za utamaduni zitaendelea kufanyika kila wiki katika kijiji hicho cha Butulwa – Old Shinyanga hivyo kuwasihi wananchi kuendelea kutembelea kijiji cha utamaduni ili kujifunza masuala ya utamaduni wa Kabila la Wasukuma.

TAZAMA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati wa kufunga Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga Jumanne Juni 7,2022 . Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati wa kufunga Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga Jumanne Juni 7,2022 
Wananchi wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati wa kufunga Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga Jumanne Juni 7,2022 
Mwenyekiti wa Machifu Mkoa wa Shinyanga Chifu Jidola akizungumza kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary akizungumza kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga Jumanne Juni 7,2022 .

Burudani ya ngoma ya Waswezi ikiendelea kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Akina mama wakitwanga nafaka kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Akina mama wakisaga nafaka kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga na Mkuu wa wilaya ya Kishapu Joseph Mkude (kulia) wakitwanga kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Mwananchi akirekodi matukio kwa kutumia simu yake ya Kitochi 'Kiswaswadu kwenye tamasha la utamaduni
Wafugaji kutoka Kishapu wakicheza mchezo wa Kuchapana Fimbo kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Wafugaji kutoka Kishapu wakicheza mchezo wa Kuchapana Fimbo kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Askari wa Jeshi la Jadi Sungusungu Usanda akiwa amebeba kinu kwa meno kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Askari wa Jeshi la Jadi Sungusungu Usanda akionesha mbwembwe kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP George Kyando (kushoto) akicheza ngoma ya askari wa Jeshi la Jadi Sungusungu Usanda kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP George Kyando (kushoto) akicheza ngoma ya askari wa Jeshi la Jadi Sungusungu Usanda kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Wanafunzi wa shule ya Little Treasures wakicheza ngoma ya asili kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Wananchi wakifuatilia burudani kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Burudani ikiendelea kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Msanii wa Nyimbo za asili Shoka kutoka Chamaguha Manispaa ya Shinyanga akitoa burudani kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Banda la Kampuni ya Jambo kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Gari la Matangazo la Kampuni ya Jambo likiwa kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Wadau wakiwa kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Wadau wakiwa kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga, Boniphace Chambi akizungumza kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga

Wadau wakiwa kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga. Katikati ni Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani akisalimiana na wananchi kwenye Tamasha la Utamaduni
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati akijiandaa kukabidhi vyeti vya Shukrani kutambua ushiriki na mchango wa wadau mbalimbali kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga katika Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga Jumanne Juni 7,2022.


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza (katikati) akipiga picha ya kumbukumbu na wadau waliotembelea  Kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Butulwa – Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga  Jumanne Juni 7,2022 . 

Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog


Soma pia : 

Video : BURUDANI, NGOMA ZOTE ZA KISUKUMA ZILIZOCHEZWA KWENYE TAMASHA LA UTAMADUNI






Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments