RC MJEMA APOKEA KOMBE BAADA YA STAND UNITED KUPANDA DARAJA LA PILI NGAZI YA TAIFA MSIMU MPYA 2022/2023


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akipokea Kombe kutoka kwa mzee Bernadi Itendele ambaye ni mwenyekiti wa Wazee walezi timu ya Stand United baada ya timu hiyo kupanda daraja kutoka ngazi ya Tatu Kimkoa hadi Daraja la pili ngazi ya Taifa kwenye msimu Mpya wa 2022/2023



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments