NEMC WASHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI JIJINI DAR ES SALAAM

Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamzi wa Mazingira (NEMC) wakiwa kwenye Maandamano katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam wakiadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani- Mei Mosi 2022. Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamzi wa Mazingira (NEMC) wakipata picha ya pamoja kwenye ofisi yao wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani- Mei Mosi 2022 Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamzi wa Mazingira (NEMC) wakiwa kwenye Maandamano katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam wakiadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani- Mei Mosi 2022.Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamzi wa Mazingira (NEMC) wakipata picha ya pamoja katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani- Mei Mosi 2022 yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamzi wa Mazingira (NEMC) wakifurahi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani- Mei Mosi 2022 yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamzi wa Mazingira (NEMC) wakiwa katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani- Mei Mosi 2022 yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments