VIDEO YA DIAMOND PLATNUMZ Ft ZUCHU 'MTASUBIRI SANA' YAFUNGIWA..TCRA YASEMA IMEIBUA HISIA ZA DHARAU KWA DINI FLANI
Friday, May 06, 2022
Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imeagiza kusitishwa kwa wimbo wa Diamond Platnumz Ft. Zuchu - Mtasubiri Sana, kutokana na kipande kinachomuonesha Zuchu akiimba kwaya kanisani na baadaye akaacha baada ya kupigiwa simu.
Mamlaka hiyo imesema kipande hicho kimeibua ukakasi na hisia za dharau juu ya dini/madhehebu flani.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin