Picha : MAPOKEZI YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM KINANA JIJINI DAR ES SALAAM

Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakishangilia katika hafla ya kumkaribisha Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndg. Abdulrahman Omar Kinana Mkoa wa Dar es Salaam katika ukumbi wa Diamond Jubilee .
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndg. Abdulrahman Omar Kinana akisalimiana na wazee wa CCM katika hafla ya kumkaribisha Makamu mwenyekiti huyo leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini wa Dar Es Salaam muda huu
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndg. Abdulrahman Omar Kinana akifurahi jambo na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Daniel Chongolo katika hafla ya kumkaribisha Makamu mwenyekiti huyo leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini wa Dar es Salaam muda huu

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments