FARU RAJABU MTOTO WA FARU JOHN AFARIKI


Faru Rajabu enzi akiwa hai


Faru Rabaju amefariki usiku wa kuamkia leo Machi 21, 2022 akiwa na miaka 43. Faru Rajabu ni mtoto wa Faru John ambaye naye alifariki mwaka 2015.

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limetoa taarifa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments