Post Top Ad
Friday, March 18, 2022
MIKIDADI ASHINDA MILIONI 10 ZA BIKO
Balozi wa Biko Tanzania, Kajala Masanja, kushoto akifurahia tukio la kumkabidhi Nuru Mikikadi (katikati) Sh Milioni 10 zake alizoshinda kwenye droo kubwa ya Bahati Nasibu ya Biko iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. Kulia ni Flamiana Msilu, Meneja Uhusiano wa CRDB Tawi la Premier lililopo Palm Beach, jijini Dar es Salaam. Picha na Mpiga picha Wetu.
Mkazi wa Chanika, jijini Dar es Salaam, Nuru Mikidadi, akifurahia pesa zake Sh Milioni 10 alizoshinda kutoka kwenye bahati nasibu ya Biko droo iliyofanyika Jumapili iliyopita. Makabidhiano ya fedha zake yalifanyika katika benk ya CRDB, Tawi la Premier, lililopo Palm Beach, jijini Dar es Salaam.
Mkazi wa Chanika, jijini Dar es Salaam, Nuru Mikidadi, akifurahia pesa zake Sh Milioni 10 alizoshinda kutoka kwenye bahati nasibu ya Biko droo iliyofanyika Jumapili iliyopita. Makabidhiano ya fedha zake yalifanyika katika benk ya CRDB, Tawi la Premier, lililopo Palm Beach, jijini Dar es Salaam. Picha na Mpigapicha wetu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment