MIKIDADI ASHINDA MILIONI 10 ZA BIKO


Balozi wa Biko Tanzania, Kajala Masanja, kushoto akifurahia tukio la kumkabidhi Nuru Mikikadi (katikati) Sh Milioni 10 zake alizoshinda kwenye droo kubwa ya Bahati Nasibu ya Biko iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. Kulia ni Flamiana Msilu, Meneja Uhusiano wa CRDB Tawi la Premier lililopo Palm Beach, jijini Dar es Salaam. Picha na Mpiga picha Wetu.
Mkazi wa Chanika, jijini Dar es Salaam, Nuru Mikidadi, akifurahia pesa zake Sh Milioni 10 alizoshinda kutoka kwenye bahati nasibu ya Biko droo iliyofanyika Jumapili iliyopita. Makabidhiano ya fedha zake yalifanyika katika benk ya CRDB, Tawi la Premier, lililopo Palm Beach, jijini Dar es Salaam.
Mkazi wa Chanika, jijini Dar es Salaam, Nuru Mikidadi, akifurahia pesa zake Sh Milioni 10 alizoshinda kutoka kwenye bahati nasibu ya Biko droo iliyofanyika Jumapili iliyopita. Makabidhiano ya fedha zake yalifanyika katika benk ya CRDB, Tawi la Premier, lililopo Palm Beach, jijini Dar es Salaam. Picha na Mpigapicha wetu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments