BOSI GSM AJIUZULU UJUMBE KAMATI YA USHINDI TAIFA STARS


Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya GSM, Gharib Said Mohamed (GSM) ameamua kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti na Ujumbe wa Kamati ya Ushindi ya Timu ya Taifa Stars na kuwatakia Watanzania wote kila la kheri.


Haya yametangazwa kwenye mkutano na waandishi wa habari jioni hii ambapo pia kumetangazwa Kampuni ya GSM kujitoa kwenye sehemu ya Wadhamini wa Ligi Kuu Tanzania.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments