RAIS SAMIA AMTEUA MKANGWA KUWA KAMISHNA WA KAZI


****************************

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bi. Suzan William Mkangwa kuwa Kamishna wa Kazi.

Kabla ya uteuzi huo, Bi. Suzan alikuwa Mtumishi katika Ofisi ya Rais Ikulu na anachukua nafasi ya Brigedia Jenerali Francis Ronald Mbindi aliyepangiwa majukumu mengine.

Uteuzi huu umeanza tarehe 17 Januari, 2022.

Jaffar Haniu

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments