Post Top Ad
Thursday, January 20, 2022
RAIS SAMIA AMTEUA MKANGWA KUWA KAMISHNA WA KAZI
****************************
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bi. Suzan William Mkangwa kuwa Kamishna wa Kazi.
Kabla ya uteuzi huo, Bi. Suzan alikuwa Mtumishi katika Ofisi ya Rais Ikulu na anachukua nafasi ya Brigedia Jenerali Francis Ronald Mbindi aliyepangiwa majukumu mengine.
Uteuzi huu umeanza tarehe 17 Januari, 2022.
Jaffar Haniu
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment